Submit your work, meet writers and drop the ads. Become a member
ISSAI MASHINGO Jun 2014
NAKUSHUKURU
Baba nakushukuru kwa kunipa uhai hata sasa,
Nashukuru kwa kunisamehe na kunitakasa,
Nashukuru kwa kuwa ulikufa kwa ajili yangu,
Nashukuru kwani ulinibariki toka tumboni mwa mama yangu,
Nashukuru unanipenda hata na mapungufu yangu,
Nashukuru kwa kuwa unanilinda kutoka na kuingia kwangu,
Lihimidiwe jina lako YEHOVA hakuna kama wewe,
Mungu kwa kuwa hakuna kinachoweza kulinganishwa na upendo wako,
Hakuna kinachoweza kulinganishwa na wema wako,
Je ni mwanadamu gani awezaye kufa kwa ajili ya asimjua?
Ni nani awezaye kukubali kuteseka kwa niaba ya yule amchukiaye?
Ni nani awezaye kuuweka chini uhai wake kwa ajili ya adui yake?
PETTY POET Jun 2020
/NI LIFE/
Sometimes mi hu-wrong nikijaribu ku-correct,na mi si perfect so daily niko  kwa  risklt ya ku-loose vitu ata  nili-collect,so we skiza hii  tune,yeah ofcourse hii tune si  unajua mali safi zi huzinduliwa June.Pingu za maisha nishanunua shoneni vitenge juu nazifunga soon.

Samahani,back then kudish kwa sahani kwangu ilisound kifahari,world yangu ilikuwa so untrue na mauongo ki-kanyari,kupata kwangu then ilisound ka monkey kuonekana kalahari,nyi mkinyonga tai zangu nabaki ni  nyoka nanyonga,ni  saa  nane  usiku nikiexhaust my poetic pen igeuze words ziwe dishi,DJ akiscratch ilikuwa opportunity ya kuflow nayo  na mistari haziishi,mtaa 1960 ndio iliniwai courage ya kusimama mbele ya mahater nikiwashow hii mwaka haiishi meza moja na nyinyi tudishi.

Mi hu-acknoledge power ya sir God jo juu ya kuniblessia creativity tangu pre-unit,usitafte amani  bila unity certificate ya kugraduate from petty poet to plenty of poems nikailaminate na case ya glass,after kuchoma kuna wasee nilianza nao na siko nao  si  zao ziliwashow wako "high" class,hii  dunia ni ya God so ka unaplan downfall yangu jua success naiwai a thousand times plus.

Hii sanaa  mi hufanya si  rahisi,ata ka Nadia na kalikuwa kashaa tamba ilibidi ameitisha maombi,ka si Sunday siogi,mi nimezoea kula jasho yangu that's why unaskia nikiongea sh*t that is stinky.

So ukihustle na biz ya kuuza charcoal jua ***** hands zi hukuwa sign ya clean money,na since muka aende silent mi ndio nimekuwa nikiwasha nare kwa stage bila lyta,mi ndio nimekuwa nikijua mbona mapema ye hurauka.Hii time short nimekuwa hapa nilikuwa na blessings za mama no wonder sijastammer,ka nimekubamba scratch kwa tenje uniseti...stage ndio home na sijaplan kuhama.
-P€TT¥PO€T ✍️
©2020.
SassyJ May 2016
I.
Ngozi yangu ni nyekundu
Choka wanaochukua kama mfuo
Bila ushunda na heshima
Waichezea kama kikapu cha samaki

I.
My exotic melenated skin is dark
Pasted with chalks that crease in mist
The world that sails with no justice and politeness
A sifted clan put in a basket like the unwanted fish

II.
Wainukia hii fedha, kwani sina mkopo
Hizi ndamu nyekundu zalia pilipili
Kwa uchungu umeomwangwa duniani
Haya si maneno ya sifa wala ya hatari

II.
Don’t smell at this treasure, for I have no debt
The bloods that pour in crimson and burn in hot pepper
The pain streamed from faces, a tainted worldly existence
Let these words not be seen as a praise and neither a threat

III.
Binadamu ulimwenguni wakifu
Kama mfalme mwenye hana taji
Umoja madada, pamoja makaka
Mkono tushikane kwa usawa, mdogo mdogo

III.
Humanity is a concept weft from the universal strains in cobalt abstracts
Lost in illusion like a king who is prided by invisible crowns
Together sisters, brothers, daughters and sons
Hold hands, spread the love in a united mesh, little by little
Translations can lose meaning.... my first ever Swahili poem
Link:
https://soundcloud.com/user-367453778/mdogomdogo
PETTY POET Jul 2020
Before uende tizi,usikule ndizi,that could make you feel uneasy,nowadays injili naspread bila bibles,the only player kwa hii game anacheza na bi-*****,hii si  kujichocha ni  vile skills nimeobtain kwa makocha,luku safi na maganji kwa toja,na hi I dunia ni ya sir God so kaa unategea downfall yangu my friend utangoja.

Art inatoka kwa heart,PETTY POET is about to change ile narrative imekuwepo,my lines are full of flavour kaa ni diss unapokea kichapo,ni  heri uko mnaeza kula vako,huku kumekauka kuliko kichwa ya babu owino,na Jana na Leo mayutt daily ni  kilio,promises hamfulfill kisha kwa mbulu unabrag venye  uko na spirit ya kuokolea,zote mauongo,I wish ningekuwa na kalamu ni-underline na rangi iliyokolea.

Kama ni  uhondo unatafuta songea,si kubrag ni course ya success nilisomea,daily  nikiota nagrow ka mmea,kila mtu  ana-views tofauti huwezi sikia nikikusemea,ukibehave abnormally tunakutreat normally,si  wasapere pekee wanapenda mali ata  mayoh utaskia wakisema no-mali,

Hii time short nimespend apa  nilikuwa na blessings za mama no wonder sijastammer,kama nimekubamba scratch kwa tenje uniseti stage name sijaplan kuhama.
Follow PETTY POET on;
YouTube;PETTY POET
Instagram;POET_PETTY
Twitter;@PETTY POET
Facebook;https://www.facebook.com/105361811084811/posts/157686379185687/?app=fbl
Writco.com;PETTY POET
Mdundo.com;PETTY POET
Whatsapp/tell;0781967348
Tell2;0713434887
John F McCullagh Jun 2018
Mtu mweusi mweusi, katika mwezi mkali wa moto,
ameketi katika kivuli cha mti wa Baobab.
Majani yaliyomo mara moja
walikuwa kavu na ukame,
waathirika wa upepo wa mabadiliko.

"Wazee, wananiita zamani." Alidhani,
"Majira ya joto ya sabini yanigeuka kijivu,
lakini mti huu wa Baobab ulikua mrefu na wenye nguvu
Wakati majeshi ya Kirumi yalipitia njia hii. "

Mzee huyo alitafuta matunda ya baobab
na akaingia kwenye hali kama hali.
Alikuwa katika hali ya akili;
Sio usingizi, sio macho kabisa.

Aliposikia sauti: "Nina kiu." Ilisema,
Ingawa alikuwa na uhakika alikuwa peke yake.
Ilionekana si sauti ya binadamu:
monotone kavu ya ubongo.

"Kwa vizazi, wanaume kama wewe
Walitaka makazi yangu kutoka kwenye jua,
Lakini sasa imekamilika; nchi imeharibika
Na mimi nina kufa, mdogo. "

Mtu mzee alilia kusikia maneno haya
Kwa maana miti hizi zinapokufa, kama lazima,
Wao huanguka juu ya ardhi yenye ubongo
Hivyo haraka kurudi kwenye Vumbi.

"Dunia imebadilika kwa wewe na mimi,
Upepo ni kavu chini ya jua.
Ninasamehe ulimwengu wa wanadamu
Kwa maana hawajui waliyofanya. "

Mtu mzee aliamka na mwanzo
na akainua na miwa yake.
Alilia kwa kufikiri mti huu utafa

lakini machozi hawezi kuchukua nafasi ya mvua.
Mti Baobab huitwa "Mti wa Uzima" kwa ajili ya matunda mengi ya virutubisho ambayo hutoa wakati wa kavu Afrika. Kama hali ya hewa ya bara inabadilika na uharibifu wa jangwa unafanyika, miti ya zamani zaidi ya miti inakufa kwa kiu
olang phesto Aug 2018
Ungali futa subira tu
Hali yangu mbaya imefanya umenikimbia
Sina, hope, nilikuambia?
mapenzi yakweli nilikupa sio kutania
Marafiki wanakuulizia niwaambie nini ?
Nimekuzoea siungelitulia.
Alafu moyo unaujinga bado unakuhitaji

— The End —