Submit your work, meet writers and drop the ads. Become a member
PETTY POET Sep 2020
NI SAHII*
Nimekuwa silent for a while waka-confuse kuhang boots na a short break,huwezi nipata bar no wonder bars zangu ziko so-bar,black supremacy... Niko na connection na maraga ndio maana akanipea hii ko-r-ti,ni  poet petty siku hizi na-weigh content si  value ya suti,apart from kutema visiriaz,nacheza guitar na at times isukutti,kaa ni kisima,si  unajua obvious hii_ siikuti,

Daily na hood niite mya-hoodie,ni  due to public demand so sikuwa na budi,nilipretend kunguru ndio nipate hizo white collar jobs,na nikasema sitadiss king rabbit ndio unispot kaka,aty petty ameomoka?,si aitane basi sherehe ya kukata na shoka,kaa ni breko naamkia konyangi,na hii  dry spell uko sure hunyongangi?.

Hii class kila mtu  huchoma tuko high class,heri  uko mnakula vako,huku kumekauka kuliko kichwa ya babu owino,dawa ya wivu nakuandikia eno,situmii smartphone natumia phone smart,only call sina  time ya kuchat,ambia smart joker jokes zake huwa joked smart,

Walisema sikio la kufa halisikii dawa,acha nijaribu tena  MARA MOJA, thanks to corona for the first time mluhya anaoga mkono na si  ugali anakula,na petty unatema hata  mtu  haezi sema,ni  venye alikuwa na vinyasa mbili so nikamwomba sho-r-t
moja,na petty pieces zako huniacha in pieces,hizo ndio comments nareply,juz for teases,

Na kama corona shida zangu huwezi zicough out kwa public,natumia mouth piece ya scimo na Leo hatubongi za mitaro na toothpicks,na kuna chizi flani  ananukia colon na hii corona huwezi sema kwa mama mboga iko loan,na kama ni  lyrics nauza hii itabidi umechomoa mita,na before niachilie mic,kumbuka sonko alisema social distance ni  ya one metre,sihang suspenders kwa shoulders, nikiwa hustle nahang guitar,hio  time short nimespend apa  nilikuwa na blessings za mama no wonder sijastammer,kama nimekubamba scratch kwa tenje uniseti stage ndio home na sijaplan...kuhama.
-P€TT¥PO€T✍️
©️2020.
PETTY POET Jul 2020
Before uende tizi,usikule ndizi,that could make you feel uneasy,nowadays injili naspread bila bibles,the only player kwa hii game anacheza na bi-*****,hii si  kujichocha ni  vile skills nimeobtain kwa makocha,luku safi na maganji kwa toja,na hi I dunia ni ya sir God so kaa unategea downfall yangu my friend utangoja.

Art inatoka kwa heart,PETTY POET is about to change ile narrative imekuwepo,my lines are full of flavour kaa ni diss unapokea kichapo,ni  heri uko mnaeza kula vako,huku kumekauka kuliko kichwa ya babu owino,na Jana na Leo mayutt daily ni  kilio,promises hamfulfill kisha kwa mbulu unabrag venye  uko na spirit ya kuokolea,zote mauongo,I wish ningekuwa na kalamu ni-underline na rangi iliyokolea.

Kama ni  uhondo unatafuta songea,si kubrag ni course ya success nilisomea,daily  nikiota nagrow ka mmea,kila mtu  ana-views tofauti huwezi sikia nikikusemea,ukibehave abnormally tunakutreat normally,si  wasapere pekee wanapenda mali ata  mayoh utaskia wakisema no-mali,

Hii time short nimespend apa  nilikuwa na blessings za mama no wonder sijastammer,kama nimekubamba scratch kwa tenje uniseti stage name sijaplan kuhama.
Follow PETTY POET on;
YouTube;PETTY POET
Instagram;POET_PETTY
Twitter;@PETTY POET
Facebook;https://www.facebook.com/105361811084811/posts/157686379185687/?app=fbl
Writco.com;PETTY POET
Mdundo.com;PETTY POET
Whatsapp/tell;0781967348
Tell2;0713434887
Athalia Feb 2019
Je,ni jahannamu kwa nani
Nakupenda hata wakati unaniumiza
Tuli kuwa na kila mmoja
Lakini tulipoteana
Na sasa ninakutafuta
Lakini hutaki kupatikana
Safana Jan 2
Tirka-tirka ana tara tara.
Hujjojin duka an tattara.
Lauyoyi sun debi wara.
A can kotu kuwa an fara.
Tattara hujjoji a fili karara.
A cikin kotun koli ba'a bara.
In baka da hujja sai ka tara.
Wani lokaci ko wata shekara.
Wata zai kama, mu dau kara
Don tsula biri ya shirya zara.
Buri nasa yayi ta kona kara
Tsula tuni a kai nasa ya sha gora

Wata ya doso
Lokacin tsayawar sa ya taso
Jama'a ku zo mu siyo soso
Mu wanke dattin kwanso
Wata kila tsula zai je gidan kaso
Kuma za'a daure **** a kwankwaso
Zai yi ta tsalle ko baya so
Don ya sha wankan soso

Wai ina yake ne, kantoma
Mun sani baka da makoma
In  ka tafi ba badda kama
Duk abin da ka shuka zai girma
Zaka girba tabbas ba tantama
A gidan kaso ko a magarkama.

An fara duba wata.
Ga samaniya ta haskaka
Masoyan korra sun rausaya
Murna ta su ta wuce zolaya
To ina masoya ja?
Sun hauhawa.
Farashi nasu ya raurawa,
ya fadi kasa tamkar wawa.
Tun sun ga wata a samaniya,
jinjiri me yaye hayaniya,
Sun tunzura su yi hayaniya.

Shugaban jam'iyya yace
Kowa ya fito da idaniya
Ya kura su sama yayi dubiya
Jariri na wata zai bayyana
A daren yau ko gobe da jibi.

— The End —