Hello Poetry
Submit your work and get some sparkles! Create free account
"yeye" poems
Taifa haliwezi kuwa na maendeleo ikosekanapo hekima, Nchi haiwezi kuwa na chakula pasipo wakulima, Jamii haiwezi pata maendeleo pasipo kujituma, Siasa yetu leo ni ya kuwasha na kuzima, Maneno yasemwayo hayaingii akilini mwa mtu mzima, Madaraka wanajipatia na vyeo kwa lazima, Hawajali ya jana wala leo wanajali shibe yao, Wanalimbikiza mali kwa miradi ya wanao, Wanaikandamiza haki kwa kutumia elimu yao, Demokrasia imekuwa kinga yao dhidi ya ufisadi wao, Siasa imekuwa nyimbo tena zile za mwambao, Wakisemana kwa mafumbo wanajuana wao, Wanakaa majukwaani na makubwa yao matumbo, Mzee alisema fumbo mfumbie mjinga, Busara na hekima ni kumsikiliza anaye kupinga, Maana hoja zake zawezekana zikawa za kujenga, Utajuaje siri ya adui yako bila kumpenda, Kamwe huwezi kushinda mechi kwa kujua kupiga chenga, Kamwe huwezi kuwa na nguvu kwa kujitenga, Naomba tukazane nchi yetu kuijenga, Tukipamba na maadui maradhi umasikini na ujinga, Sio kuyasifia mema ili madhaifu kuyapamba, Ila ukweli kuusema bali tukitumia hekima, Ikosekanapo kamba huwezi teka maji yakisima, Ikosekanapo nanga huzamisha meli nzima, Kuwa na vingi si kuishi kwa kujinyima, Unapojenga msingi katu huwezi kurudi nyuma, Mkulima mzuri hutegemea mbivu kuzichuma, Yule aliye mvivu kamwe hawezi kujituma, Daima yeye aliye msikivu hujifunza na kuelewa, Ila Yule aliye mvivu hutegemea ngekewa, Wanasiasa hulalamika kana kwaamba wanaonewa, Ukweli ni kwamba wanatumia vibaya uhuru waliopewa, Daima taifa haliwezi endelea ikosekanapo hekima. © issai
0
Jun 26, 2014
Jun 26, 2014 at 6:04 AM UTC
HEKIMA
Taifa haliwezi kuwa na maendeleo ikosekanapo hekima, Nchi haiwezi kuwa na chakula pasipo wakulima, Jamii haiwezi pata maendeleo pasipo kujituma, Siasa yetu leo ni ya kuwasha na kuzima, Maneno yasemwayo hayaingii akilini mwa mtu mzima, Madaraka wanajipatia na vyeo kwa lazima, Hawajali ya jana wala leo wanajali shibe yao, Wanalimbikiza mali kwa miradi ya wanao, Wanaikandamiza haki kwa kutumia elimu yao, Demokrasia imekuwa kinga yao dhidi ya ufisadi wao, Siasa imekuwa nyimbo tena zile za mwambao, Wakisemana kwa mafumbo wanajuana wao, Wanakaa majukwaani na makubwa yao matumbo, Mzee alisema fumbo mfumbie mjinga, Busara na hekima ni kumsikiliza anaye kupinga, Maana hoja zake zawezekana zikawa za kujenga, Utajuaje siri ya adui yako bila kumpenda, Kamwe huwezi kushinda mechi kwa kujua kupiga chenga, Kamwe huwezi kuwa na nguvu kwa kujitenga, Naomba tukazane nchi yetu kuijenga, Tukipamba na maadui maradhi umasikini na ujinga, Sio kuyasifia mema ili madhaifu kuyapamba, Ila ukweli kuusema bali tukitumia hekima, Ikosekanapo kamba huwezi teka maji yakisima, Ikosekanapo nanga huzamisha meli nzima, Kuwa na vingi si kuishi kwa kujinyima, Unapojenga msingi katu huwezi kurudi nyuma, Mkulima mzuri hutegemea mbivu kuzichuma, Yule aliye mvivu kamwe hawezi kujituma, Daima yeye aliye msikivu hujifunza na kuelewa, Ila Yule aliye mvivu hutegemea ngekewa, Wanasiasa hulalamika kana kwaamba wanaonewa, Ukweli ni kwamba wanatumia vibaya uhuru waliopewa, Daima taifa haliwezi endelea ikosekanapo hekima. © issai
Continue reading...
35
Hapa ndipo umenifikisha Umalenga na ujopo Wa kiingereza tulimudu lakini kiswahili kitamu **** la mama litamu Hata liwe la mbwa Kimombo kilaini majineno Kama mayai ya johari Kuangaza mitima halaiki Namshukuru Rabuka Kwa talanta ya kuandika Tukaumba kwa maneno Waumbaji nikawaunga Kama yeye Mungu, Nguvu za maneno kat'tunukia Uwezo wa karana hii Kuwateka akilizo Nyika na mito kuwavusha Hadi sayari za ndoto zao Uswahilini narudi mie Kitamu kwelikweli Nashukuru Maulana Kipaji nilipata Naye ataniauni Dau langu lifike kilindini Nitue kileleni Niangaze kama Zuhura Hapa ndipo nimefika Umalenga na ujopo N'taukumbatia milele Kwa Kiswahili na kimombo Mitima zao kusisimua.
0
Jan 6, 2016
Jan 6, 2016 at 8:03 AM UTC
Kiswahili Kirembo
Hii life ni ya kuhustle, alikuja kugundua that, ile night alijimess kwa disco hall, ma-hustlers kwake walikuwa ni masufferes, na yeye kivyake alikuwa mtu wamastarehe, Easy money without pain, na juu ya ignorance, hakutambua kuwa, no pain no gain, ama labda, aliogopa the pain ya kugain, legally according to the law of her body, juu alikuwa after easy money, na hakutambua kuwa hii pain ingetake long kuheal, Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu, Walijaribu kumfunza, wavyele kwa walimu, Lakini maneno yao yalienea kwa sikio la kufa ambalo mara nyingi halisikii dawa, Life yake ilikuwa surrounded na pressure from peers, Drugs alizimeza na kujipierce, Malimwengu walimfunza machungu na ma regrets, juu ya  mama aliyapuuza, Alijiona msupuu sana kuattract pesa, coz, si pesa huvutiwa na urembo, All in all,, urembo wake na kuremba kwake kulimlead to waste, na akawa waste, Alikuwa anafuatwa na wengi juu ya manukato, but sasa, anahave kufuatwa na nzi wengi juu ya shombo, Alicome back to her senses, ongezea ya sita, after kujimess hiyo night saa sita, Na juu alikuwa amejawa na ma regrets, pain ilikuwa more na too deep in her flesh, Akaanza kujifeel less fortunate, hakujua pakupata msaada, coz, alidis maarif wake ile time alijifeel high, so high ungedhani amepita limit ya sky, But one thing is for sure, angehave kuget back on her feet, a get from her seat, ya comfort zone, Akaamua kurudi to her first life, Aweke maringo na kuremba kwake, to her last line, Na her life her hustle, Aliamua kuchukua her hustle to the second line, Christ akiwa on the leading line.
0
May 24, 2019
May 24, 2019 at 8:19 AM UTC
Her pain, Her gain
Hii life ni ya kuhustle, alikuja kugundua that, ile night alijimess kwa disco hall, ma-hustlers kwake walikuwa ni masufferes, na yeye kivyake alikuwa mtu wamastarehe, Easy money without pain, na juu ya ignorance, hakutambua kuwa, no pain no gain, ama labda, aliogopa the pain ya kugain, legally according to the law of her body, juu alikuwa after easy money, na hakutambua kuwa hii pain ingetake long kuheal, Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu, Walijaribu kumfunza, wavyele kwa walimu, Lakini maneno yao yalienea kwa sikio la kufa ambalo mara nyingi halisikii dawa, Life yake ilikuwa surrounded na pressure from peers, Drugs alizimeza na kujipierce, Malimwengu walimfunza machungu na ma regrets, juu ya  mama aliyapuuza, Alijiona msupuu sana kuattract pesa, coz, si pesa huvutiwa na urembo, All in all,, urembo wake na kuremba kwake kulimlead to waste, na akawa waste, Alikuwa anafuatwa na wengi juu ya manukato, but sasa, anahave kufuatwa na nzi wengi juu ya shombo, Alicome back to her senses, ongezea ya sita, after kujimess hiyo night saa sita, Na juu alikuwa amejawa na ma regrets, pain ilikuwa more na too deep in her flesh, Akaanza kujifeel less fortunate, hakujua pakupata msaada, coz, alidis maarif wake ile time alijifeel high, so high ungedhani amepita limit ya sky, But one thing is for sure, angehave kuget back on her feet, a get from her seat, ya comfort zone, Akaamua kurudi to her first life, Aweke maringo na kuremba kwake, to her last line, Na her life her hustle, Aliamua kuchukua her hustle to the second line, Christ akiwa on the leading line.
Continue reading...
51
There’s something funny about a loved one’s death it’s like climbing up a flight of stairs and thinking there’s one more stair than there is so you put your foot down and it passes through the air and hits the ground it’s a shock, your heart beats really fast and then nothing. Absolutely nothing. I remember your face your smile your laugh I remember the times When, as a kid, I giggled in glee and flew paper aeroplanes around on your lap I remember your hand how it fit into mine like it was meant to be how you told me everything’s gonna be alright and now I remember the huge gaping hole in my chest where my heart used to be. I remember staring at your face And thinking, “this isn’t you” I remember how they dressed you up and laid you there and I struggled with the realization that someone, something in my life would never come back it was like I watched you walk into the ocean deeper and deeper until the waters covered your head I was screaming, crying Begging you to come back For me But you didn’t hear a word I said Yeye, Mama, YiDioh, I sing what I cannot speak I write what I cannot say My heart beats for you I will never give up Everything you taught me How to be brave How to be strong, When I’m afraid How to press on How to hold on How to keep the light in my eyes alive I love you, You had a great ride, And I will never forget you.
0
Jun 15, 2015
Jun 15, 2015 at 4:53 AM UTC
remembering.
yeah yeah yeah ya yah yea! yeye yeahh mhmm--- yes. (of course) oui.
0
May 28, 2011
May 28, 2011 at 7:16 AM UTC
affirmative
my earliest memory of yeye (grandfather) is one with the garden it was once a large space of emptiness, yet sometimes emptiness is not a lack of but an opportunity for planting and for growing in this garden he planted memories looping a hose around the garden suddenly created new meaning chasing after turtles my cheeks turned rosy and drenched in the sun the details are so clear it’s like watching a motion picture in slow motion, the speed of everything melting into a single emotion i can only describe as childish joy. and when the sun slept the garden was still alight with firecrackers and sparklers the sizzling sound of springtime spirit he kept the garden glowing, bustling and radiating with life. as i grew the flowers did too, a new type of rose, fruit, bud each time i came back and this is where i learn how life begins and ends just like flowers we must seek the sun wilt and fall root and rise and only then can we bloom and he bloomed so bright that the Lord hand picked him and so he may have left his own garden but he has not wilted he only continues to bloom this time in the garden of heaven.
0
May 20, 2019
May 20, 2019 at 11:01 AM UTC
the art of blooming
Slap saddle. Shake and rattle.            Oh my aching back. Hunker down wave at the clown. Yipi ky yo ky yeh.             What you talkin bout willis.   (Bruce ) Yipi yie yo ky yay Knees high. Shoulders low ***** down ten gallon.            Hands tight. Elbows in                       Come a tye yeye yipi yipi yo yipi yeh. Come a tye yeye yip yipi yeh.
0
Jun 20, 2013
Jun 20, 2013 at 8:55 PM UTC
The seven second cowboy