"lako" poems
NAKUSHUKURU
Baba nakushukuru kwa kunipa uhai hata sasa,
Nashukuru kwa kunisamehe na kunitakasa,
Nashukuru kwa kuwa ulikufa kwa ajili yangu,
Nashukuru kwani ulinibariki toka tumboni mwa mama yangu,
Nashukuru unanipenda hata na mapungufu yangu,
Nashukuru kwa kuwa unanilinda kutoka na kuingia kwangu,
Lihimidiwe jina lako YEHOVA hakuna kama wewe,
Mungu kwa kuwa hakuna kinachoweza kulinganishwa na upendo wako,
Hakuna kinachoweza kulinganishwa na wema wako,
Je ni mwanadamu gani awezaye kufa kwa ajili ya asimjua?
Ni nani awezaye kukubali kuteseka kwa niaba ya yule amchukiaye?
Ni nani awezaye kuuweka chini uhai wake kwa ajili ya adui yake?
Jun 26, 2014
Jun 26, 2014 at 6:07 AM UTC
Ima li ime ta struna
Koja stoji u mestu
Ima li ime ptica
Koja peva u letu
Imas li ime ti
mala zvezdo sjajna
imas li ime
ili je ono samo tajna?
Kako se zoves zeljo jedina
Nije li divno ime tvoje
Kako se zove tajna skrivena
Lica umiljatog sto je?
Sta se krije u tvojim ocima
Ima li negde tvoga imena
Hajde, posluzi se svime
Zeljo moja imas li ime?
Jedan mig i tu
Nestajes lako
Kao u snu
Jedan tren mi
Bez nade tako
Odes ti
Kako se zoves zeljo jedina
Nije li divno ime tvoje
Kako se zove tajna skrivena
Lica umiljatog sto je?
Sta se krije u tvojim ocima
Ima li negde tvoga imena
Hajde, posluzi se svime
Zeljo moja imas li ime?
Oct 8, 2014
Oct 8, 2014 at 12:31 PM UTC
Chini ya mnazi bandarini
Kumbukumbu ndizo zilizobakia tu
Kunizinguka akilini
Huba lako kulikosa
Yaumiza moyoni
Upepo kutoka baharini
Tulipoketi ukininong'onezea
Sikioni kwamba ni mimi tu
Kwamba utanipenda
Tukichora zetu mchangani
Aaah, nyakati za raha hizo!
Ukaniliwaza mtima
Tukapanga mipango ya milele
Nabakia kutafuna utamu
Wa kumbukumbu tu
Chini ya mnazi bandarini
Nikilemewa maradhi ya moyo
Filamu ya huba letu akilini
Tukicheza ufukoni
Penzi ndio madini ninayokosa mwilini
Kama kosa ni langu najuta
Usinkwepe rejea nakwita
Nitakuenzi nikutunze almasi
Tulitwae tunda la penzi nawe
Tulichovye buyu la asali
Wengine waone kijicho
Tupendane tena
Chini ya mnazi bandarini
Jan 10, 2016
Jan 10, 2016 at 3:07 AM UTC
Lazima uchoose, dooh ama doze
Lazima uchoose, respect alarm ama uisnooze
Lazima uchoose, ujitume ama ulose
Lazima uchoose, ujibuild au *****
Izi ndo vitu hamtaki kuambiwa, izi ndo the truth
Mnataka niseme life ni smooth but Leo siwasooth
Sherehe Sheria ndio inamaliza mayouth
Ukilewa vuguru, Hadi hunaga matooth
Daily unadial pedi ukidai Mali
Jipende buda na for sure utafika mbali
Imagine ukiwa diani ukiorder wali
Si lazima buy iyo jumu expe ati ju ni Kali
Picha ya Kenyatta Kwa walanje ndo unafaa kusaka
Jipe goals Ka Sancho, salah au saka
Mulla mob, nine lives Ka paka
Usijitreat Ka trash we si takataka
But anyway maisha ni yako
Chaguo ni lako
Ntaachia apo ju naskia mtu Kwa mlango
Am sure ni peng Fulani utoka pango
Mar 4, 2023
Mar 4, 2023 at 3:52 PM UTC