"mema" poems
Taifa haliwezi kuwa na maendeleo ikosekanapo hekima,
Nchi haiwezi kuwa na chakula pasipo wakulima,
Jamii haiwezi pata maendeleo pasipo kujituma,
Siasa yetu leo ni ya kuwasha na kuzima,
Maneno yasemwayo hayaingii akilini mwa mtu mzima,
Madaraka wanajipatia na vyeo kwa lazima,
Hawajali ya jana wala leo wanajali shibe yao,
Wanalimbikiza mali kwa miradi ya wanao,
Wanaikandamiza haki kwa kutumia elimu yao,
Demokrasia imekuwa kinga yao dhidi ya ufisadi wao,
Siasa imekuwa nyimbo tena zile za mwambao,
Wakisemana kwa mafumbo wanajuana wao,
Wanakaa majukwaani na makubwa yao matumbo,
Mzee alisema fumbo mfumbie mjinga,
Busara na hekima ni kumsikiliza anaye kupinga,
Maana hoja zake zawezekana zikawa za kujenga,
Utajuaje siri ya adui yako bila kumpenda,
Kamwe huwezi kushinda mechi kwa kujua kupiga chenga,
Kamwe huwezi kuwa na nguvu kwa kujitenga,
Naomba tukazane nchi yetu kuijenga,
Tukipamba na maadui maradhi umasikini na ujinga,
Sio kuyasifia mema ili madhaifu kuyapamba,
Ila ukweli kuusema bali tukitumia hekima,
Ikosekanapo kamba huwezi teka maji yakisima,
Ikosekanapo nanga huzamisha meli nzima,
Kuwa na vingi si kuishi kwa kujinyima,
Unapojenga msingi katu huwezi kurudi nyuma,
Mkulima mzuri hutegemea mbivu kuzichuma,
Yule aliye mvivu kamwe hawezi kujituma,
Daima yeye aliye msikivu hujifunza na kuelewa,
Ila Yule aliye mvivu hutegemea ngekewa,
Wanasiasa hulalamika kana kwaamba wanaonewa,
Ukweli ni kwamba wanatumia vibaya uhuru waliopewa,
Daima taifa haliwezi endelea ikosekanapo hekima.
© issai
Jun 26, 2014
Jun 26, 2014 at 6:04 AM UTC
At yun nga,
Inakala ko
wala na nga,
Ngunit may karugtong pa nga,
Ang librong hinulog sa banga,
Saan na nga?
Nag wakas ang kwentong tula?,
Ating baguhin at gawing Dula,
Ang mga nangyaring hula,
Na pwede pa nating baguhin mula simula.
Ngunit nabago na ang ihip ng hangin,
Hindi ko na alam ang iisipin,
Gusto kong silipin
Ang mundong dapat sana'y atin,
Dahil inakala ko'y wala na nga,
Ngunit heto't bumalik ka nga,
Upang ako'y muling malito saking nararamdaman,
ikanga,
tulad nung isang awitin,Mas mahal na kita ngayon,Ngunit pambihirang buhay to,
Kaibigan nalang ako,
Ng isang Prinsesang nakatira sa kastilyo,
ayoko na
dahil wala ng kabuluhan
ang sinusulat ko,
para akong tanga,
mema post lang,
bahala na..
pambihira...
salamat sa pagbabasa.
thuglife tayo..xD
Nov 4, 2016
Nov 4, 2016 at 6:20 AM UTC
Don't use the soap MeMa gave you for Christmas.
Strong suspicion shes supporting that crazy creepy cult that resides in the basement of the old abandoned tire factory.
When used it rapidly dissolves leaving you with a handful of painted marbles, Jesus's face on one side, "ready to clean your soul?" on the other.
Equal parts disturbing and ridiculous to be cleaning the naughty bits with a fistful of divinity.
Feb 23, 2015
Feb 23, 2015 at 12:15 AM UTC